Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 137:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee binti ya Babiloni, uliye karibu kuangamizwa,+

      Mwenye furaha ni yule atakayekupa thawabu yako

      Kwa maovu uliyotutendea.+

  • Yeremia 50:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Waiteni wapiga-mishale dhidi ya Babiloni,

      Wote wanaoupinda* upinde.+

      Pigeni kambi kumzunguka; msiache yeyote aponyoke.

      Mlipeni kulingana na matendo yake.+

      Mtendeeni kama alivyotenda,+

      Kwa maana ametenda kwa kiburi dhidi ya Yehova,

      Dhidi ya Mtakatifu wa Israeli.+

  • Yeremia 51:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kimbieni kutoka Babiloni,

      Kimbieni ili mwokoe uhai wenu.*+

      Msiangamie kwa sababu ya kosa lake.

      Kwa maana ni wakati wa kisasi cha Yehova.

      Anamlipa kulingana na matendo yake.+

  • Yeremia 51:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa Ukaldayo

      Kwa sababu ya uovu wote ambao wametenda huko Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.

  • Ufunuo 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mlipeni kama alivyowatendea wengine,+ ndiyo, mlipeni mara mbili kwa yale aliyotenda;+ katika kikombe+ alichochanganya, mtilieni mchanganyiko mara mbili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki