Yeremia 50:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana sasa ninaamsha na kuleta dhidi ya BabiloniKusanyiko la mataifa makubwa kutoka katika nchi ya kaskazini.+ Watamshambulia wakiwa wamejipanga kivita;Kutoka hapo atatekwa. Mishale yao ni kama ya shujaaInayosababisha wazazi wafiwe na watoto;+Hairudi bila matokeo. Yeremia 51:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Inueni ishara* katika nchi.+ Pigeni pembe kati ya mataifa. Wekeni* mataifa ya kumshambulia. Iteni dhidi yake falme za Ararati,+ Mini, na Ashkenazi.+ Wekeni juu yake ofisa mwandikishaji. Wafanyeni farasi waje kama nzige wenye miiba.
9 Kwa maana sasa ninaamsha na kuleta dhidi ya BabiloniKusanyiko la mataifa makubwa kutoka katika nchi ya kaskazini.+ Watamshambulia wakiwa wamejipanga kivita;Kutoka hapo atatekwa. Mishale yao ni kama ya shujaaInayosababisha wazazi wafiwe na watoto;+Hairudi bila matokeo.
27 “Inueni ishara* katika nchi.+ Pigeni pembe kati ya mataifa. Wekeni* mataifa ya kumshambulia. Iteni dhidi yake falme za Ararati,+ Mini, na Ashkenazi.+ Wekeni juu yake ofisa mwandikishaji. Wafanyeni farasi waje kama nzige wenye miiba.