Isaya 52:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ondokeni, ondokeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kichafu!+ Tokeni kati yake,+ iweni safi,Ninyi mnaobeba vyombo vya Yehova.+ Yeremia 51:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Tokeni kati yake, watu wangu!+ Kimbieni ili mwokoe uhai wenu*+ kutoka kwa hasira ya Yehova inayowaka!+ Ufunuo 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake, na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.+
11 Ondokeni, ondokeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kichafu!+ Tokeni kati yake,+ iweni safi,Ninyi mnaobeba vyombo vya Yehova.+
45 Tokeni kati yake, watu wangu!+ Kimbieni ili mwokoe uhai wenu*+ kutoka kwa hasira ya Yehova inayowaka!+
4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake, na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.+