Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 48:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tokeni Babiloni!+

      Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo!

      Litangazeni kwa vigelegele vya shangwe! Litangazeni!+

      Lijulisheni mpaka kwenye miisho ya dunia.+

      Semeni: “Yehova amemkomboa mtumishi wake Yakobo.+

  • Yeremia 50:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 “Kimbieni kutoka Babiloni,

      Tokeni katika nchi ya Wakaldayo,+

      Na muwe kama wanyama wanaolitangulia kundi.

  • Yeremia 51:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kimbieni kutoka Babiloni,

      Kimbieni ili mwokoe uhai wenu.*+

      Msiangamie kwa sababu ya kosa lake.

      Kwa maana ni wakati wa kisasi cha Yehova.

      Anamlipa kulingana na matendo yake.+

  • Zekaria 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Njooni! Njooni! Kimbieni kutoka nchi ya kaskazini,”+ asema Yehova.

      “Kwa maana nimewatawanya kuelekea pepo nne za mbinguni,”*+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki