Isaya 48:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tokeni Babiloni!+ Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo! Litangazeni kwa vigelegele vya shangwe! Litangazeni!+ Lijulisheni mpaka kwenye miisho ya dunia.+ Semeni: “Yehova amemkomboa mtumishi wake Yakobo.+ Ufunuo 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake, na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.+
20 Tokeni Babiloni!+ Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo! Litangazeni kwa vigelegele vya shangwe! Litangazeni!+ Lijulisheni mpaka kwenye miisho ya dunia.+ Semeni: “Yehova amemkomboa mtumishi wake Yakobo.+
4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake, na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.+