2 Mambo ya Nyakati 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sulemani alivitengeneza vitu vyote+ vya nyumba ya Mungu wa kweli: madhabahu ya dhahabu;+ meza+ na mikate ya wonyesho iliyokuwa juu ya meza hizo;+ 2 Mambo ya Nyakati 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 mikasi ya kukatia tambi za taa, mabakuli, vikombe, na vyetezo, vyote vya dhahabu safi; na lango la nyumba, na milango ya ndani ya Patakatifu Zaidi,+ na milango ya nyumba ya hekalu, ya dhahabu.+
19 Sulemani alivitengeneza vitu vyote+ vya nyumba ya Mungu wa kweli: madhabahu ya dhahabu;+ meza+ na mikate ya wonyesho iliyokuwa juu ya meza hizo;+
22 mikasi ya kukatia tambi za taa, mabakuli, vikombe, na vyetezo, vyote vya dhahabu safi; na lango la nyumba, na milango ya ndani ya Patakatifu Zaidi,+ na milango ya nyumba ya hekalu, ya dhahabu.+