48 Sulemani alivitengeneza vitu vyote vya nyumba ya Yehova: madhabahu+ ya dhahabu; meza ya dhahabu+ ya kuwekea mikate ya wonyesho; 49 vinara vya taa+ vya dhahabu safi, vitano upande wa kulia na vitano upande wa kushoto mbele ya chumba cha ndani zaidi; na maua,+ taa, na koleo, vyote vya dhahabu;+