16 Tangazeni jambo hilo, naam, kwa mataifa;
Litangazeni dhidi ya Yerusalemu.”
“Walinzi wanakuja kutoka nchi ya mbali,
Nao watapaza sauti zao dhidi ya majiji ya Yuda.
17 Wanamshambulia kutoka pande zote kama walinzi wa shamba ambalo halijazingirwa na ukuta,+
Kwa sababu ameniasi,”+ asema Yehova.