Isaya 63:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Naye akageuka na kuwa adui yao,+Naye akawapiga vita.+ Ezekieli 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, ninakutuma kwa watu wa Israeli,+ kwa mataifa yenye kuasi ambayo yameniasi.+ Wao na mababu zao wamenikosea mpaka leo hii.+
10 Lakini waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Naye akageuka na kuwa adui yao,+Naye akawapiga vita.+
3 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, ninakutuma kwa watu wa Israeli,+ kwa mataifa yenye kuasi ambayo yameniasi.+ Wao na mababu zao wamenikosea mpaka leo hii.+