Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mmekuwa mkimwasi Yehova tangu nilipowajua.

  • Zaburi 78:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kisha hawatakuwa kama mababu zao,

      Kizazi chenye ukaidi na uasi,+

      Kizazi kilichokuwa na moyo unaoyumbayumba*+

      Na ambacho hakikuwa na roho ya uaminifu kwa Mungu.

  • Yeremia 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na tulale chini katika aibu yetu,

      Fedheha yetu na itufunike,

      Kwa maana tumemtendea dhambi Yehova Mungu wetu,+

      Sisi na baba zetu tangu ujana wetu mpaka leo hii,+

      Nasi hatujaitii sauti ya Yehova Mungu wetu.”

  • Matendo 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Ninyi watu wagumu na wasiotahiriwa katika mioyo na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo mnavyofanya pia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki