Ezekieli 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, ninakutuma kwa wana wa Israeli,+ kwa mataifa yenye kuasi ambayo yameniasi.+ Hao wenyewe na mababu zao wamenitendea makosa mpaka siku hii ya leo.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:3 Mnara wa Mlinzi (Funzo),11/2022, kur. 2-3 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 11
3 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, ninakutuma kwa wana wa Israeli,+ kwa mataifa yenye kuasi ambayo yameniasi.+ Hao wenyewe na mababu zao wamenitendea makosa mpaka siku hii ya leo.+