19 Amoni+ alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka miwili huko Yerusalemu.+ Mama yake aliitwa Meshulemethi binti ya Haruzi kutoka Yotba. 20 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, kama alivyofanya Manase baba yake.+