Ezekieli 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ukatili umesitawi na kuwa fimbo ya uovu.+ Wao wenyewe, mali yao, umati wao, wala umashuhuri wao hautaokoka. Mika 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wanatamani mashamba na kuyanyakua;+Pia nyumba, na kuzichukua;Wanamlaghai mtu na kuchukua nyumba yake,+Wanachukua urithi wa mtu.
11 Ukatili umesitawi na kuwa fimbo ya uovu.+ Wao wenyewe, mali yao, umati wao, wala umashuhuri wao hautaokoka.
2 Wanatamani mashamba na kuyanyakua;+Pia nyumba, na kuzichukua;Wanamlaghai mtu na kuchukua nyumba yake,+Wanachukua urithi wa mtu.