9 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nimeona kwamba watu hawa ni wakaidi.*+10 Basi sasa, niache niwaangamize kabisa kwa hasira yangu inayowaka, na acha nikufanye wewe kuwa taifa kubwa.”+
14 “Lakini wewe,* usisali kwa ajili ya watu hawa. Usipaze kilio au kusali kwa ajili yao,+ kwa maana sitasikiliza watakaponililia kwa sababu ya msiba wao.