Yeremia 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Lakini wewe, usisali kwa ajili ya watu hawa. Usipaze kilio wala kusali wala kunisihi kwa ajili yao,+ kwa maana sitakusikiliza.+ Yeremia 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha Yehova akaniambia: “Usisali kwamba watu hawa wapate mema.+
16 “Lakini wewe, usisali kwa ajili ya watu hawa. Usipaze kilio wala kusali wala kunisihi kwa ajili yao,+ kwa maana sitakusikiliza.+