Yeremia 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Lakini wewe, usisali kwa ajili ya watu hawa. Usipaze kilio wala kusali wala kunisihi kwa ajili yao,+ kwa maana sitakusikiliza.+ Yeremia 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Lakini wewe,* usisali kwa ajili ya watu hawa. Usipaze kilio au kusali kwa ajili yao,+ kwa maana sitasikiliza watakaponililia kwa sababu ya msiba wao.
16 “Lakini wewe, usisali kwa ajili ya watu hawa. Usipaze kilio wala kusali wala kunisihi kwa ajili yao,+ kwa maana sitakusikiliza.+
14 “Lakini wewe,* usisali kwa ajili ya watu hawa. Usipaze kilio au kusali kwa ajili yao,+ kwa maana sitasikiliza watakaponililia kwa sababu ya msiba wao.