Yeremia 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Kwa kweli umewadanganya kabisa watu hawa+ na Yerusalemu, kwa kusema, ‘Mtakuwa na amani,’+ wakati upanga uko kwenye koo zetu.”* Yeremia 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Je, umeikataa Yuda kabisa, au, je, umelichukia* Sayuni kabisa?+ Kwa nini umetupiga, hivi kwamba hatuwezi kupona?+ Tulitumaini kupata amani, lakini hakuna jambo lolote jema lililokuja,Wakati wa kuponywa, lakini kuna hofu!+
10 Kisha nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Kwa kweli umewadanganya kabisa watu hawa+ na Yerusalemu, kwa kusema, ‘Mtakuwa na amani,’+ wakati upanga uko kwenye koo zetu.”*
19 Je, umeikataa Yuda kabisa, au, je, umelichukia* Sayuni kabisa?+ Kwa nini umetupiga, hivi kwamba hatuwezi kupona?+ Tulitumaini kupata amani, lakini hakuna jambo lolote jema lililokuja,Wakati wa kuponywa, lakini kuna hofu!+