Yeremia 30:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Lakini nitakurudishia afya yako na kuyaponya majeraha yako,”+ asema Yehova,“Ingawa walikuita mtu aliyetengwa: ‘Sayuni, asiyetafutwa na yeyote.’”+ Yeremia 33:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi kuhusu nyumba za jiji hili na kuhusu nyumba za wafalme wa Yuda ambazo zimebomolewa kwa sababu ya maboma ya kuzingira na kwa sababu ya upanga,+ Yeremia 33:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Ninamponya na kumpa afya,+ nami nitawaponya na kuwafunulia wingi wa amani na kweli.+
17 “Lakini nitakurudishia afya yako na kuyaponya majeraha yako,”+ asema Yehova,“Ingawa walikuita mtu aliyetengwa: ‘Sayuni, asiyetafutwa na yeyote.’”+
4 “Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi kuhusu nyumba za jiji hili na kuhusu nyumba za wafalme wa Yuda ambazo zimebomolewa kwa sababu ya maboma ya kuzingira na kwa sababu ya upanga,+