Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Kwa nini tunaketi hapa?

      Tukusanyikeni pamoja tuingie katika majiji yenye ngome+ na kuangamia humo.

      Kwa maana Yehova Mungu wetu atatuangamiza,

      Naye anatupatia maji yenye sumu tunywe,+

      Kwa sababu tumemtendea Yehova dhambi.

  • Yeremia 23:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi dhidi ya manabii hao:

      “Tazama, ninawafanya wale pakanga

      Na kuwapa maji yenye sumu wanywe.+

      Kwa maana kutoka kwa manabii wa Yerusalemu uasi imani umeenea katika nchi yote.”

  • Maombolezo 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Amenijaza mambo machungu na kunikoleza kwa pakanga.+

  • Maombolezo 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kumbuka mateso yangu na hali yangu ya kukosa makao,+ pakanga na sumu kali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki