Yeremia 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo, Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Tazama, ninawafanya watu hawa wale pakanga, nami nitawafanya wanywe maji yenye sumu.+ Maombolezo 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Amenizingira; amenizungushia sumu+ kali na taabu.
15 Kwa hiyo, Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Tazama, ninawafanya watu hawa wale pakanga, nami nitawafanya wanywe maji yenye sumu.+