Yeremia 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kwa nini tunaketi hapa? Tukusanyikeni pamoja tuingie katika majiji yenye ngome+ na kuangamia humo. Kwa maana Yehova Mungu wetu atatuangamiza,Naye anatupatia maji yenye sumu tunywe,+Kwa sababu tumemtendea Yehova dhambi. Yeremia 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo, Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Tazama, ninawafanya watu hawa wale pakanga, nami nitawafanya wanywe maji yenye sumu.+ Maombolezo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kumbuka mateso yangu na hali yangu ya kukosa makao,+ pakanga na sumu kali.+
14 “Kwa nini tunaketi hapa? Tukusanyikeni pamoja tuingie katika majiji yenye ngome+ na kuangamia humo. Kwa maana Yehova Mungu wetu atatuangamiza,Naye anatupatia maji yenye sumu tunywe,+Kwa sababu tumemtendea Yehova dhambi.
15 Kwa hiyo, Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Tazama, ninawafanya watu hawa wale pakanga, nami nitawafanya wanywe maji yenye sumu.+