Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana nimesikia sauti kama ya mwanamke mgonjwa,

      Maumivu kama ya mwanamke anayezaa mtoto wake wa kwanza,

      Sauti ya binti ya Sayuni ambaye anaendelea kuhemahema kwa nguvu.

      Anasema hivi akiinyoosha mikono yake:+

      “Ole wangu, kwa maana nimechoka* kwa sababu ya wauaji!”

  • Ezekieli 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Watu wao watakaofanikiwa kuponyoka wataenda milimani, na kama njiwa wa mabondeni, kila mmoja ataomboleza kwa sababu ya kosa lake.+

  • Mika 1:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa sababu hiyo nitalia kwa sauti na kupiga mayowe;+

      Nitatembea bila viatu nikiwa uchi.+

      Nitalia kwa sauti kama mbwamwitu wanavyolia,

      Na kuomboleza kama mbuni wanavyoomboleza.

       9 Kwa sababu jeraha lake haliwezi kuponywa;+

      Limefika mpaka Yuda.+

      Pigo limeenea mpaka kwenye lango la watu wangu, mpaka Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki