Isaya 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wakati huo Yehova alisema hivi kupitia Isaya+ mwana wa Amozi: “Nenda ukavue nguo ya magunia kutoka kiunoni mwako, na uvue viatu vilivyo miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea akiwa uchi* na bila viatu.
2 Wakati huo Yehova alisema hivi kupitia Isaya+ mwana wa Amozi: “Nenda ukavue nguo ya magunia kutoka kiunoni mwako, na uvue viatu vilivyo miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea akiwa uchi* na bila viatu.