Isaya 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 wakati huo Yehova alisema kwa mkono wa Isaya mwana wa Amozi,+ akisema: “Nenda,+ ukavue nguo ya gunia kutoka viunoni mwako;+ nawe uvue viatu vyako kutoka miguuni pako.”+ Naye akafanya hivyo, akitembea akiwa uchi na miguu wazi.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 20:2 w06 12/1 11; ip-1 211 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 20:2 Mnara wa Mlinzi,12/1/2006, uku. 11 Unabii wa Isaya 1, uku. 211
2 wakati huo Yehova alisema kwa mkono wa Isaya mwana wa Amozi,+ akisema: “Nenda,+ ukavue nguo ya gunia kutoka viunoni mwako;+ nawe uvue viatu vyako kutoka miguuni pako.”+ Naye akafanya hivyo, akitembea akiwa uchi na miguu wazi.+