Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Msifanye kama wanavyofanya katika nchi ya Misri ambako mliishi, wala msifanye kama wanavyofanya katika nchi ya Kanaani ambako nawapeleka.+ Msifuate sheria zao.

  • Mambo ya Walawi 18:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ni lazima mtimize wajibu wenu kwangu kwa kutofuata desturi yoyote kati ya desturi zenye kuchukiza zilizofuatwa kabla yenu,+ ili msijichafue kwa desturi hizo. Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”

  • Mambo ya Walawi 20:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Hampaswi kufuata sheria za mataifa ninayoyafukuza kutoka mbele yenu;+ kwa sababu yamefanya mambo hayo yote, nami ninayachukia kabisa mataifa hayo.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 jihadharini msinaswe baada ya mataifa hayo kuangamizwa kutoka mbele yenu. Msiulize hivi kuhusu miungu yao: ‘Mataifa haya yaliabuduje miungu yake? Mimi pia nitafanya vivyo hivyo.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki