Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Miungu ya ubatili itatoweka kabisa.+

  • Yeremia 51:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kila mtu anatenda bila kutumia akili na bila ujuzi.

      Kila fundi wa chuma ataaibishwa kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+

      Kwa maana sanamu yake ya chuma* ni uwongo,

      Nazo hazina roho* ndani yake.+

      18 Sanamu hizo ni udanganyifu,*+ kazi ya mzaha.

      Siku yao ya hukumu itakapofika, zitaangamia.

  • Sefania 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova atawaogopesha sana;*

      Kwa maana ataiharibu kabisa* miungu yote ya dunia,

      Na visiwa vyote vya mataifa vitamwinamia,*+

      Kila kisiwa kikiwa mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki