17 Kila mtu anatenda bila kutumia akili na bila ujuzi.
Kila fundi wa chuma ataaibishwa kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+
Kwa maana sanamu yake ya chuma ni uwongo,
Nazo hazina roho ndani yake.+
18 Sanamu hizo ni udanganyifu,+ kazi ya mzaha.
Siku yao ya hukumu itakapofika, zitaangamia.