Kutoka 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sasa ikiwa mtaitii kabisa sauti yangu na kushika agano langu, hakika mtakuwa mali yangu ya pekee* kati ya mataifa yote,+ kwa maana dunia yote ni mali yangu.+ Isaya 47:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+Nami nikawatia mkononi mwako.+ Lakini hukuwaonyesha rehema.+ Hata juu ya wazee uliweka nira nzito.+
5 Sasa ikiwa mtaitii kabisa sauti yangu na kushika agano langu, hakika mtakuwa mali yangu ya pekee* kati ya mataifa yote,+ kwa maana dunia yote ni mali yangu.+
6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+Nami nikawatia mkononi mwako.+ Lakini hukuwaonyesha rehema.+ Hata juu ya wazee uliweka nira nzito.+