Isaya 63:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Watu wako watakatifu waliimiliki kwa muda mfupi. Maadui wetu walipakanyaga-kanyaga mahali pako patakatifu.+ Yeremia 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami nilifikiri, ‘Jinsi nilivyokuweka kati ya wana na kukupa nchi inayotamanika, urithi maridadi zaidi kati ya mataifa!’*+ Pia nilifikiri mtaniita ‘Baba yangu!’ na kwamba hamtageuka na kuacha kunifuata.’
18 Watu wako watakatifu waliimiliki kwa muda mfupi. Maadui wetu walipakanyaga-kanyaga mahali pako patakatifu.+
19 Nami nilifikiri, ‘Jinsi nilivyokuweka kati ya wana na kukupa nchi inayotamanika, urithi maridadi zaidi kati ya mataifa!’*+ Pia nilifikiri mtaniita ‘Baba yangu!’ na kwamba hamtageuka na kuacha kunifuata.’