24 Ni nani aliyemtia Yakobo mikononi mwa watekaji nyara
Na Israeli mikononi mwa waporaji?
Je, si Yehova, Yule ambaye tumemtendea dhambi?
Walikataa kutembea katika njia Zake,
Nao hawakutii sheria Yake.+
25 Basi Yeye akaendelea kummwagia ghadhabu,
Hasira yake na ghadhabu ya vita.+
Iliteketeza kila kitu kumzunguka, lakini hakulikazia jambo hilo fikira.+
Iliwaka dhidi yake, lakini hakulitia jambo hilo moyoni.+