Yeremia 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Ninafaidikaje mnapoleta ubani kutoka ShebaNa utete wenye manukato kutoka nchi ya mbali? Dhabihu zenu nzima za kuteketezwa hazikubaliki,Na dhabihu zenu hazinipendezi.”+
20 “Ninafaidikaje mnapoleta ubani kutoka ShebaNa utete wenye manukato kutoka nchi ya mbali? Dhabihu zenu nzima za kuteketezwa hazikubaliki,Na dhabihu zenu hazinipendezi.”+