- 
	                        
            
            Isaya 66:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
3 Anayemchinja ng’ombe dume ni kama yule anayemuua mwanadamu.+
Anayemchinja kondoo ni kama yule anayevunja shingo ya mbwa.+
Anayetoa zawadi—kama damu ya nguruwe!+
Anayetoa toleo la ubani la ukumbusho+ ni kama yule anayebariki kwa maneno ya uchawi.*+
Wamechagua njia zao wenyewe,
Nao wanapenda* mambo yanayochukiza.
 
 -