Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?”+ asema Yehova.

      “Nimetosheka na dhabihu zenu za kuteketezwa za kondoo dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri,+

      Nami sipendezwi na damu+ ya ng’ombe dume wachanga+ na wanakondoo na mbuzi.+

  • Isaya 66:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Anayemchinja ng’ombe dume ni kama yule anayemuua mwanadamu.+

      Anayemchinja kondoo ni kama yule anayevunja shingo ya mbwa.+

      Anayetoa zawadi—kama damu ya nguruwe!+

      Anayetoa toleo la ubani la ukumbusho+ ni kama yule anayebariki kwa maneno ya uchawi.*+

      Wamechagua njia zao wenyewe,

      Nao wanapenda* mambo yanayochukiza.

  • Yeremia 7:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema, ‘Endeleeni, ongezeni dhabihu zenu nzima za kuteketezwa kwenye dhabihu zenu nyingine, na mle nyama hizo ninyi wenyewe.+

  • Amosi 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nazichukia, nazidharau sherehe zenu,+

      Nami sifurahii harufu tamu ya makusanyiko yenu matakatifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki