Isaya 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?”+ asema Yehova. “Nimetosheka na dhabihu zenu za kuteketezwa za kondoo dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri,+Nami sipendezwi na damu+ ya ng’ombe dume wachanga+ na wanakondoo na mbuzi.+ Yeremia 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Ninafaidikaje mnapoleta ubani kutoka ShebaNa utete wenye manukato kutoka nchi ya mbali? Dhabihu zenu nzima za kuteketezwa hazikubaliki,Na dhabihu zenu hazinipendezi.”+ Hosea 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wananitolea zawadi za dhabihu, nao wanakula nyama,Lakini mimi Yehova sipendezwi nazo.+ Sasa nitakumbuka kosa lao na kuwaadhibu kwa sababu ya dhambi zao.+ Wamegeuka na kurudi* Misri.+ Amosi 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nazichukia, nazidharau sherehe zenu,+Nami sifurahii harufu tamu ya makusanyiko yenu matakatifu.
11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?”+ asema Yehova. “Nimetosheka na dhabihu zenu za kuteketezwa za kondoo dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri,+Nami sipendezwi na damu+ ya ng’ombe dume wachanga+ na wanakondoo na mbuzi.+
20 “Ninafaidikaje mnapoleta ubani kutoka ShebaNa utete wenye manukato kutoka nchi ya mbali? Dhabihu zenu nzima za kuteketezwa hazikubaliki,Na dhabihu zenu hazinipendezi.”+
13 Wananitolea zawadi za dhabihu, nao wanakula nyama,Lakini mimi Yehova sipendezwi nazo.+ Sasa nitakumbuka kosa lao na kuwaadhibu kwa sababu ya dhambi zao.+ Wamegeuka na kurudi* Misri.+