Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?”+ asema Yehova.

      “Nimetosheka na dhabihu zenu za kuteketezwa za kondoo dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri,+

      Nami sipendezwi na damu+ ya ng’ombe dume wachanga+ na wanakondoo na mbuzi.+

  • Yeremia 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Ninafaidikaje mnapoleta ubani kutoka Sheba

      Na utete wenye manukato kutoka nchi ya mbali?

      Dhabihu zenu nzima za kuteketezwa hazikubaliki,

      Na dhabihu zenu hazinipendezi.”+

  • Hosea 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wananitolea zawadi za dhabihu, nao wanakula nyama,

      Lakini mimi Yehova sipendezwi nazo.+

      Sasa nitakumbuka kosa lao na kuwaadhibu kwa sababu ya dhambi zao.+

      Wamegeuka na kurudi* Misri.+

  • Amosi 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nazichukia, nazidharau sherehe zenu,+

      Nami sifurahii harufu tamu ya makusanyiko yenu matakatifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki