Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 5:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Wamemkana Yehova, nao wanaendelea kusema,

      ‘Hatafanya chochote.*+

      Hatutapatwa na msiba wowote;

      Hatutaona upanga wala njaa kali.’+

      13 Manabii wamejaa upepo,

      Na neno* halimo ndani yao.

      Na iwe hivyo kwao!”

  • Yeremia 23:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi dhidi ya manabii hao:

      “Tazama, ninawafanya wale pakanga

      Na kuwapa maji yenye sumu wanywe.+

      Kwa maana kutoka kwa manabii wa Yerusalemu uasi imani umeenea katika nchi yote.”

  • Ezekieli 12:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana hakutakuwa tena na maono ya uwongo au uaguzi* wa udanganyifu katika nyumba ya Israeli.+

  • Ezekieli 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mkono wangu uko dhidi ya manabii ambao maono yao ni ya uwongo na wanaotabiri uwongo.+ Nao hawatakuwa miongoni mwa watu ninaowaambia siri zangu; wala hawataandikwa katika orodha ya watu wa nyumba ya Israeli; wala hawatarudi katika nchi ya Israeli; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki