Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana hasira yangu imewasha moto+

      Ambao utateketeza mpaka kwenye kina cha Kaburi,*+

      Nao utateketeza dunia na mazao yake

      Na kuchoma moto misingi ya milima.

  • Isaya 42:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ni nani aliyemtia Yakobo mikononi mwa watekaji nyara

      Na Israeli mikononi mwa waporaji?

      Je, si Yehova, Yule ambaye tumemtendea dhambi?

      Walikataa kutembea katika njia Zake,

      Nao hawakutii sheria* Yake.+

      25 Basi Yeye akaendelea kummwagia ghadhabu,

      Hasira yake na ghadhabu ya vita.+

      Iliteketeza kila kitu kumzunguka, lakini hakulikazia jambo hilo fikira.+

      Iliwaka dhidi yake, lakini hakulitia jambo hilo moyoni.+

  • Yeremia 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Utauacha kwa kupenda urithi wako niliokupa.+

      Nami nitakufanya uwatumikie maadui wako katika nchi usiyoijua,+

      Kwa maana umeiwasha hasira yangu kama moto.*+

      Itaendelea kuwaka daima.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki