Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi nimejawa na ghadhabu ya Yehova,

      Nami nimechoka kuizuia ndani yangu.”+

      “Imwage juu ya mtoto aliye barabarani,+

      Juu ya vikundi vya vijana waliokusanyika pamoja.

      Wote watakamatwa, mwanamume pamoja na mke wake,

      Wazee pamoja na waliozeeka sana.*+

  • Amosi 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Simba amenguruma!+ Ni nani ambaye hataogopa?

      Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema! Ni nani ambaye hatatoa unabii?’+

  • Matendo 4:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini Petro na Yohana wakawajibu: “Kama ni sawa machoni pa Mungu kuwasikiliza ninyi badala ya Mungu, hukumuni ninyi wenyewe. 20 Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema kuhusu mambo ambayo tumeyaona na kuyasikia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki