Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Basi nikasema: “Sitamtaja tena,

      Wala sitasema tena katika jina lake.”+

      Lakini moyoni mwangu neno hilo lilikuwa kama moto unaowaka uliofungiwa mifupani mwangu,

      Nami nikachoka kulizuia ndani yangu;

      Singeweza tena kuvumilia.+

  • Amosi 7:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Amosi akamjibu hivi Amazia: “Mimi sikuwa nabii wala mwana wa nabii; bali nilikuwa mchungaji wa mifugo,+ nami nilitunza mitini ya mikuyu.* 15 Lakini Yehova aliniondoa katika kazi ya kuchunga kundi, kisha Yehova akaniambia, ‘Nenda, toa unabii kwa watu wangu Waisraeli.’+

  • Matendo 4:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini Petro na Yohana wakawajibu: “Kama ni sawa machoni pa Mungu kuwasikiliza ninyi badala ya Mungu, hukumuni ninyi wenyewe. 20 Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema kuhusu mambo ambayo tumeyaona na kuyasikia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki