Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kisha Yehova akaniambia:

      “Usiseme, ‘Mimi ni mvulana tu.’

      Kwa maana ni lazima uende kwa wote nitakaokutuma kwao,

      Nawe unapaswa kusema kila jambo nitakalokuamuru.+

  • Ezekieli 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, ninakutuma kwa watu wa Israeli,+ kwa mataifa yenye kuasi ambayo yameniasi.+ Wao na mababu zao wamenikosea mpaka leo hii.+

  • 2 Petro 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu,+ bali wanadamu walisema yaliyotoka kwa Mungu kama walivyoongozwa* na roho takatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki