Mambo ya Walawi 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Usimlaghai mwenzako+ wala kumnyang’anya vitu vyake.+ Usikae na mshahara wa kibarua usiku kucha mpaka asubuhi.+ Mika 3:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Sikieni jambo hili, tafadhali, enyi viongozi wa nyumba ya YakoboNanyi makamanda wa nyumba ya Israeli,+Mnaochukia haki na kupotosha mambo yote yaliyonyooka,+10 Mnaojenga Sayuni kwa umwagaji wa damu na Yerusalemu kwa ukosefu wa uadilifu.+
13 Usimlaghai mwenzako+ wala kumnyang’anya vitu vyake.+ Usikae na mshahara wa kibarua usiku kucha mpaka asubuhi.+
9 Sikieni jambo hili, tafadhali, enyi viongozi wa nyumba ya YakoboNanyi makamanda wa nyumba ya Israeli,+Mnaochukia haki na kupotosha mambo yote yaliyonyooka,+10 Mnaojenga Sayuni kwa umwagaji wa damu na Yerusalemu kwa ukosefu wa uadilifu.+