Yeremia 25:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Tazameni! Msiba unaenea kutoka taifa mpaka taifa,+Na tufani kubwa itaachiliwa kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+ Yeremia 30:23, 24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Tazameni! Dhoruba ya Yehova ya upepo italipuka kwa ghadhabu,+Tufani inayofagia ambayo inazunguka ikishuka juu ya kichwa cha waovu. 24 Hasira inayowaka ya Yehova haitapoaMpaka atakapotekeleza na kutimiza makusudi ya moyo wake.+ Mtaelewa jambo hilo katika siku za mwisho.+
32 Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Tazameni! Msiba unaenea kutoka taifa mpaka taifa,+Na tufani kubwa itaachiliwa kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+
23 Tazameni! Dhoruba ya Yehova ya upepo italipuka kwa ghadhabu,+Tufani inayofagia ambayo inazunguka ikishuka juu ya kichwa cha waovu. 24 Hasira inayowaka ya Yehova haitapoaMpaka atakapotekeleza na kutimiza makusudi ya moyo wake.+ Mtaelewa jambo hilo katika siku za mwisho.+