31 “Inukeni, shambulieni taifa lililo na amani,
Linalokaa kwa usalama!” asema Yehova.
“Halina milango wala makomeo; wanaishi peke yao.
32 Ngamia wao wataporwa,
Na mifugo yao mingi itakuwa nyara.
Nitawatawanya kwa kila upepo,
Wale ambao wananyoa nywele pembeni mwa vichwa vyao,+
Nami nitaleta msiba wao kutoka kila upande,” asema Yehova.