Yeremia 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Rekebisheni njia zenu na matendo yenu, nami nitawaruhusu mwendelee kukaa mahali hapa.+ Yeremia 36:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Labda watu wa nyumba ya Yuda watakaposikia kuhusu msiba wote ninaokusudia kuwaletea, wataziacha njia zao za uovu, ili niwasamehe kosa lao na dhambi yao.”+ Ezekieli 18:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “‘Mimi sifurahii kifo cha mtu yeyote,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. ‘Kwa hiyo geukeni na kuishi.’”+ Yona 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ni nani anayejua ikiwa Mungu wa kweli hatafikiria upya* jambo analokusudia kufanya na kuacha hasira yake inayowaka, ili tusiangamie?”
3 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Rekebisheni njia zenu na matendo yenu, nami nitawaruhusu mwendelee kukaa mahali hapa.+
3 Labda watu wa nyumba ya Yuda watakaposikia kuhusu msiba wote ninaokusudia kuwaletea, wataziacha njia zao za uovu, ili niwasamehe kosa lao na dhambi yao.”+
32 “‘Mimi sifurahii kifo cha mtu yeyote,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. ‘Kwa hiyo geukeni na kuishi.’”+
9 Ni nani anayejua ikiwa Mungu wa kweli hatafikiria upya* jambo analokusudia kufanya na kuacha hasira yake inayowaka, ili tusiangamie?”