Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Rekebisheni njia zenu na matendo yenu, nami nitawaruhusu mwendelee kukaa mahali hapa.+

  • Yeremia 36:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Labda watu wa nyumba ya Yuda watakaposikia kuhusu msiba wote ninaokusudia kuwaletea, wataziacha njia zao za uovu, ili niwasamehe kosa lao na dhambi yao.”+

  • Ezekieli 18:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “‘Mimi sifurahii kifo cha mtu yeyote,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. ‘Kwa hiyo geukeni na kuishi.’”+

  • Yona 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ni nani anayejua ikiwa Mungu wa kweli hatafikiria upya* jambo analokusudia kufanya na kuacha hasira yake inayowaka, ili tusiangamie?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki