Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘Kwa maana ninajua vizuri mawazo ninayofikiria kuwaelekea ninyi,’ asema Yehova, ‘mawazo ya amani, wala si ya msiba,+ ili niwape ninyi wakati ujao na tumaini.+

  • Maombolezo 3:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa maana moyo wake haupendi kuwatesa au kuwahuzunisha wanadamu.+

  • Ezekieli 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Waambie, ‘“Kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “Mimi sifurahishwi na kifo cha mwovu,+ bali kwamba mtu mwovu abadili njia yake+ na kuendelea kuishi.+ Geukeni, geukeni mziache njia zenu mbaya,+ kwa nini mfe, enyi watu wa nyumba ya Israeli?”’+

  • Luka 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Vivyo hivyo, ninawaambia kwamba malaika wa Mungu hushangilia mtenda dhambi mmoja anapotubu.”+

  • 2 Petro 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehova* hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyodhani,* bali ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki