Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Huo ndio uliokuwa urithi wa watu wa kabila la Yuda kulingana na koo zao.

  • Yoshua 15:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 Kiriath-baali, yaani, Kiriath-yearimu,+ na Raba—majiji mawili na vijiji vyake.

  • Yoshua 18:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kabila la Benjamini liligawiwa urithi wao kwa kura kulingana na koo zao, walipewa urithi kati ya kabila la Yuda+ na wazao wa Yosefu.+

  • Yoshua 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na mpaka huo uligeuka upande wa magharibi kuelekea kusini kutoka kwenye mlima unaotazamana na Beth-horoni upande wa kusini; nao ukafika Kiriath-baali, yaani, Kiriath-yearimu,+ jiji la Yuda. Huo ndio mpaka wa magharibi.

  • 1 Samweli 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Muda mrefu ulipita, jumla ya miaka 20, tangu Sanduku hilo lilipoletwa Kiriath-yearimu, na nyumba yote ya Israeli kuanza kumtafuta* Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki