Yeremia 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sikuwatuma manabii, lakini walikimbia. Sikuongea nao, lakini walitabiri.+ Yeremia 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha nabii Yeremia akamwambia nabii Hanania:+ “Tafadhali, sikiliza, ewe Hanania! Yehova hakukutuma wewe, bali umewafanya watu hawa wautumaini uwongo.+
15 Kisha nabii Yeremia akamwambia nabii Hanania:+ “Tafadhali, sikiliza, ewe Hanania! Yehova hakukutuma wewe, bali umewafanya watu hawa wautumaini uwongo.+