8 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Msiwaruhusu manabii wenu na waaguzi wenu walio miongoni mwenu wawadanganye,+ nanyi msisikilize ndoto wanazoota. 9 Kwa maana ‘wanawatabiria uwongo katika jina langu. Mimi sijawatuma,’+ asema Yehova.”’”