Isaya 51:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana Yehova atalifariji Sayuni.+ Ataleta faraja kwa magofu yake yote,+Naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+Na jangwa lake tambarare kama bustani ya Yehova.+ Kutakuwa na furaha na shangwe ndani yake,Kutoa shukrani na nyimbo tamu.+ Isaya 65:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami nitashangilia kwa sababu ya Yerusalemu na kufurahi kwa sababu ya watu wangu;+Sauti ya kulia na ya maombolezo kwa sababu ya taabu haitasikika tena ndani yake.”+
3 Kwa maana Yehova atalifariji Sayuni.+ Ataleta faraja kwa magofu yake yote,+Naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+Na jangwa lake tambarare kama bustani ya Yehova.+ Kutakuwa na furaha na shangwe ndani yake,Kutoa shukrani na nyimbo tamu.+
19 Nami nitashangilia kwa sababu ya Yerusalemu na kufurahi kwa sababu ya watu wangu;+Sauti ya kulia na ya maombolezo kwa sababu ya taabu haitasikika tena ndani yake.”+