Zaburi 102:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana Yehova atalijenga upya Sayuni;+Atatokea katika utukufu wake.+ Zaburi 147:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova analijenga Yerusalemu;+Huwakusanya pamoja watu wa Israeli waliotawanywa.+ Yeremia 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Jicho langu litaendelea kuwatazama kwa faida yao, nami nitawarudisha katika nchi hii.+ Nitawajenga, nami sitawabomoa; nitawapanda, nami sitawang’oa.+
6 Jicho langu litaendelea kuwatazama kwa faida yao, nami nitawarudisha katika nchi hii.+ Nitawajenga, nami sitawabomoa; nitawapanda, nami sitawang’oa.+