Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 80:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yehova Mungu wa majeshi, utaendelea mpaka lini kuwa na hasira kali kuelekea* sala ya watu wako?+

  • Zaburi 102:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Usinifiche uso wako ninapokuwa katika taabu.+

      Nitegee sikio lako;*

      Nijibu haraka ninapokuita.+

  • Isaya 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na mnaponyoosha mikono yenu,

      Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+

      Ingawa mnatoa sala nyingi,+

      Mimi sisikilizi;+

      Mikono yenu imejaa damu.+

  • Mika 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wakati huo watamlilia Yehova awasaidie,

      Lakini hatawajibu.

      Atauficha uso wake kutoka kwao wakati huo,+

      Kwa sababu ya matendo yao maovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki