Zaburi 74:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 74 Ee Mungu, kwa nini umetukataa milele?+ Kwa nini hasira yako inawaka* dhidi ya kundi la malisho yako?+ Zaburi 85:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Je, utatughadhibikia milele?+ Je, utaendelea kukasirika kizazi baada ya kizazi? Maombolezo 3:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Umeziba kwa wingu njia ya kukukaribia, ili sala yetu isipenye.+
74 Ee Mungu, kwa nini umetukataa milele?+ Kwa nini hasira yako inawaka* dhidi ya kundi la malisho yako?+