Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 80:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yehova Mungu wa majeshi, utaendelea mpaka lini kuwa na hasira kali kuelekea* sala ya watu wako?+

  • Methali 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,

      Lakini huisikia sala ya waadilifu.+

  • Methali 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Anayekataa kusikiliza sheria

      —Hata sala yake inachukiza.+

  • Isaya 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na mnaponyoosha mikono yenu,

      Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+

      Ingawa mnatoa sala nyingi,+

      Mimi sisikilizi;+

      Mikono yenu imejaa damu.+

  • Mika 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wakati huo watamlilia Yehova awasaidie,

      Lakini hatawajibu.

      Atauficha uso wake kutoka kwao wakati huo,+

      Kwa sababu ya matendo yao maovu.+

  • Zekaria 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “‘Kama vile ambavyo hawakunisikiliza nilipowaita,+ mimi pia sikuwasikiliza waliponiita,’+ asema Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki